Page 7 - Quran inTakafitu
P. 7
MAELEZO YA MTANGAZAJI
Blsmtlia hlrRahmal1lrR ahym.
Amejaalia Mwenyezi Mungu ,\11Ukufu Kilabu Chake Kilukufu hiki kiwe ndicho cha
ujumbe wa mwisho unaolOka mbinguni. Na amekileremsha kwa huyu Mlume wa Mwisho
mbora wa .\1ilume wake Nabii Muhammad - .\1uongozi wa viumbe wOle.
1'\a ,\\wenyezi Mungu alileta Mitume Ambiyaa na Mitume .'-1ursalina kwa walU WOle,
baada ya kila muda, katika nchi mbali mbali; kama Mitume Mursalina hawa: Adamu, Nuhu,
Ibrahimu, hmaili, Is-haqi, Yauqubu, YU5ufu, Musa, Oaud, Suleiman, Yahya, Isa.
Na wengine akawateremshia Vilabu Vyake. Na ilivyokuwa Vilabu hivi wameleremshiwa
uma makhsusi na nyakati makhsusi basi havikusalimika mwish(1we - na miongezo na
migeuzo na mipachiko
Na hivvo Vllabu wanavyodai baadhl ya watu kuwa nl vya Mungu vimeteremka mbinguni
hawawezi watu hao kUllnesha kwa yakini na uhaklka zipi humn hizo sehemu za asH
zilizoteremka mbinguni na hizo zlhzoongezewa baadaye kauka zama mbah mbali.
Na ilivyokuwa Vitabu hivyo Mwenyezi Mungu kaviteremsha kwa haja za nyakati
makhsusl tu ndiyo maana asivihifadhi na kupotca. Ama Qurar.1 tukufu ameiteremsha juu ya
Mtume wa mwisho ambaye hakuletwa baada yake Mtume Nabi! walil Mlume Mursali. Wala
halaielwa. Na akakamilisha kwa Kilabu hiki kiwkufu dini yake ya haki na akalimiza kwa
Kilabu hiki neema .vake juu ,va watu wote na akaki;aalia lJwongozi na Mwangaza mpaka siku
~
ya Kiama.
SI haya tu basi, bali akaahidi kuwa atakihifadhi Kilabu Chake hlki - Qurani
hakitapunguzwa, hakitaongezwa na HArT AWEZEKAN A kupingwa wala kuonekana na
makosa, !a kwa vitabu vili\·yotangulia.
Na huu Msahafu tulionao uliotapakaa ulimwengu mzima, tunaweza kusema - bila ya
shalea yoyote wala kusitasita - kuwa haya ndiyo nafsi ya maneno aliyoyateremsha Mwenyezi
Mungu Subhanahuu Wataala kwa Mtume Wake Muhammad Sal/a Ilahu Alyhi I.¥'aahhy
Wasallam kwa kame kumi na nne na zaidi tangu leo. Basi kama ahvyoahidi kukihifadhi na
kukichunga Kitabu Chake hiki basi kitasalia kama kilivyo mpaka kije Kiama na ulimwengu
umalizike. Katika Aya 9 ya .';urarul Hljr Mwenyezi Mungu amesema:
"Hakika sisi ndio luhoteremsha mauidha haya (hii Qurani); na hakika SIS I NOlO
TUTAKAOYALINOA. "
Na kwa bahati mbaya umekuwa Uislamu sasa unaitakidiwa ni dini ya watu makhsusi
wenyewe Waislamu. Kwa hivyo inaitakidiwa Qurani kuwa ni Kitabu Kitakatifu cha Waislamu
na inaitakidiwa Nabii Muhammad ni Mtume wa Waislamu peke yao na Muongozi wao peke
yao.
Kuleta fikra hli na kuitangaza kunatokana na wasiokuwa Waislamu ima kwa madai yaa
tu juu ya dini hii au kwa uchache wa kujua kwao. Mwenyezi Mungu Amesema katika Kitabu
Chake cha mwisho kuwa Muhammad s.a.w. alikuwa si kama Mitume waliotangulia kwa
sababu ni yeye tu aliyeletwa kwa wanaadamu wote, na kabila zote, na rangi zote, na mataifa
yate. Katika Aya ya 158 ya AJ.Aaraj, Mwenyezi Mungu amesema:
"Serna (Ewe Nabii Muhammad): "Enyi watu' Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi
Mungu kwenu nyinyi nyote; (Mungu) ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi, hapana
aabudiwaye (kwa haki) ila yeye; yeye ndiye ahuishaye na ndiye afishaye. Basi Mwaminini
Mwenyezi .\-lungu na Mtume wake, aliye Nabii Ummy (asiyejua kusama wala kuandika), am-
ix
Blsmtlia hlrRahmal1lrR ahym.
Amejaalia Mwenyezi Mungu ,\11Ukufu Kilabu Chake Kilukufu hiki kiwe ndicho cha
ujumbe wa mwisho unaolOka mbinguni. Na amekileremsha kwa huyu Mlume wa Mwisho
mbora wa .\1ilume wake Nabii Muhammad - .\1uongozi wa viumbe wOle.
1'\a ,\\wenyezi Mungu alileta Mitume Ambiyaa na Mitume .'-1ursalina kwa walU WOle,
baada ya kila muda, katika nchi mbali mbali; kama Mitume Mursalina hawa: Adamu, Nuhu,
Ibrahimu, hmaili, Is-haqi, Yauqubu, YU5ufu, Musa, Oaud, Suleiman, Yahya, Isa.
Na wengine akawateremshia Vilabu Vyake. Na ilivyokuwa Vilabu hivi wameleremshiwa
uma makhsusi na nyakati makhsusi basi havikusalimika mwish(1we - na miongezo na
migeuzo na mipachiko
Na hivvo Vllabu wanavyodai baadhl ya watu kuwa nl vya Mungu vimeteremka mbinguni
hawawezi watu hao kUllnesha kwa yakini na uhaklka zipi humn hizo sehemu za asH
zilizoteremka mbinguni na hizo zlhzoongezewa baadaye kauka zama mbah mbali.
Na ilivyokuwa Vitabu hivyo Mwenyezi Mungu kaviteremsha kwa haja za nyakati
makhsusl tu ndiyo maana asivihifadhi na kupotca. Ama Qurar.1 tukufu ameiteremsha juu ya
Mtume wa mwisho ambaye hakuletwa baada yake Mtume Nabi! walil Mlume Mursali. Wala
halaielwa. Na akakamilisha kwa Kilabu hiki kiwkufu dini yake ya haki na akalimiza kwa
Kilabu hiki neema .vake juu ,va watu wote na akaki;aalia lJwongozi na Mwangaza mpaka siku
~
ya Kiama.
SI haya tu basi, bali akaahidi kuwa atakihifadhi Kilabu Chake hlki - Qurani
hakitapunguzwa, hakitaongezwa na HArT AWEZEKAN A kupingwa wala kuonekana na
makosa, !a kwa vitabu vili\·yotangulia.
Na huu Msahafu tulionao uliotapakaa ulimwengu mzima, tunaweza kusema - bila ya
shalea yoyote wala kusitasita - kuwa haya ndiyo nafsi ya maneno aliyoyateremsha Mwenyezi
Mungu Subhanahuu Wataala kwa Mtume Wake Muhammad Sal/a Ilahu Alyhi I.¥'aahhy
Wasallam kwa kame kumi na nne na zaidi tangu leo. Basi kama ahvyoahidi kukihifadhi na
kukichunga Kitabu Chake hiki basi kitasalia kama kilivyo mpaka kije Kiama na ulimwengu
umalizike. Katika Aya 9 ya .';urarul Hljr Mwenyezi Mungu amesema:
"Hakika sisi ndio luhoteremsha mauidha haya (hii Qurani); na hakika SIS I NOlO
TUTAKAOYALINOA. "
Na kwa bahati mbaya umekuwa Uislamu sasa unaitakidiwa ni dini ya watu makhsusi
wenyewe Waislamu. Kwa hivyo inaitakidiwa Qurani kuwa ni Kitabu Kitakatifu cha Waislamu
na inaitakidiwa Nabii Muhammad ni Mtume wa Waislamu peke yao na Muongozi wao peke
yao.
Kuleta fikra hli na kuitangaza kunatokana na wasiokuwa Waislamu ima kwa madai yaa
tu juu ya dini hii au kwa uchache wa kujua kwao. Mwenyezi Mungu Amesema katika Kitabu
Chake cha mwisho kuwa Muhammad s.a.w. alikuwa si kama Mitume waliotangulia kwa
sababu ni yeye tu aliyeletwa kwa wanaadamu wote, na kabila zote, na rangi zote, na mataifa
yate. Katika Aya ya 158 ya AJ.Aaraj, Mwenyezi Mungu amesema:
"Serna (Ewe Nabii Muhammad): "Enyi watu' Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi
Mungu kwenu nyinyi nyote; (Mungu) ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi, hapana
aabudiwaye (kwa haki) ila yeye; yeye ndiye ahuishaye na ndiye afishaye. Basi Mwaminini
Mwenyezi .\-lungu na Mtume wake, aliye Nabii Ummy (asiyejua kusama wala kuandika), am-
ix