Page 24 - Quran inTakafitu
P. 24
UU I AL BAQARAH (2) AUF LAM MYM
23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo
tuliyomteremshia Mtumwa Wetu (kuwa
hakuteremshiwa na Mwenyezi Mungu), basi leteni
sura moja iliyofanywa na (mtu) ahye mfano wake, na
muwaite waungu wenu bighairi ya Mwenyezi Mungu
(wakusaidieni); ikiwa mnasema kweli.
24. Na msipofanya- na hakika hamtafanya
kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni
watu na mawe. uliowekewa makafiri.
25. Na wabashirie walioamini na kufanya
vitendo vizuri, kwamba watapata mabustani ya
pitayo mito mbele yake; kila mara watakapopewa
matunda humo kuwa Ili chakula watasema: "Haya
ndiyo yale tuliyopewa zamani (ulimwenguni)."
Kwani wataletewa (matunda hayo) hali ya kuwa
yamefanana (na yale waliyokuwa wakiya;uwa
ulimwenguni. Wataletewa kwa sura hiyo; lakini
utamu mwingine kabisa): na humo watapata wake
waliotakasika ena kila mabaya na machafu);· na
watakaa milele humo.
26. Hakika Mwenyezi Mungu haoni haya kutoa
mfano wowote wa mbuna ulio wa zaidi yake. Ama
wale wanaoamini, wao hujua ya kwamba hiyo ni
haki iliyotoka kwa Mola wao; lakini wale
waliokufuru husema: "Ni nini analotaka Mwenyezi
Mungu kwa mfano huu?" (Mwenyezi Mungu)
huwawachia wengi kupotea kwa mfanohuo na
huwaongoza wengi kwa mfano huo pia; lakini
hamwachii yo yOle kupolea kwa mfan~ huo (na
mwingineo) isipokuwa wale wavunjao amri (Zake).
wengine. Muradi wa maneno haya, katika Aya hii na nyinginezo, ni kuwa MwenyeziMungu Ameikun;ua Ardhi
hata viumbe wakaweza kuishi kwa raha na kufanya haja zao bila Ya taklifu juu yake. Na samaa hapa ni mawingu
kama yalivyotajwa katika sura nyengine kwa jina la sahab (mawingu). Sahab' ndiyo mawingu na samaa ni kila
kilicho juu yako. Basi tamko la samaa inapotajwa mvua lina maana ya We tamko Ia sahab. Siyo mvua .inalOka
mbinguni. Wenyewe kwa macho yelll tukipanda ndege (aeropl,ane) tunaiona haitoki mbinguni.
23. Makafiri walikuwa wakikar.usha Quran na kudai kuwa ni manenoyake yeye Muhammad, 5i maneno ya
Mungu. Basi hapa Mwenyezi Mungu Anawatahayarisha na kuwaambia kwamba Muhammad ni mwanadamu kama
nyinyi. Basi kama yeye ameweza kutunga maneno kama haya kwa nini nyinyi hamwezi? Jaribuni na muwaile hao
waungu wenu wakupeni msaada.
24. Hapil Mwenyezi Mungu Anawakat\Jl kuwa hawataweza kufanya hilo, na Anawatahadharisha na Adhabu
yake.
Wamesema kalika maelezo ya tafsiri ya Aya mbili hizi - walizozifanya kuwa ni 25 na 26 kuwa maisha ya
Akhera ni ya Kiroho Iu si ya Kiwiliwili.
Hivi sivyo unavyosema Uislamu. Uislamu unasema kuwa "Maisha ya Akhera ni ya Roho na Kiwiwili, si ya
Roho IU". Tamko gani liliowafahamisha katika Aya mbili hizi au nyinginezo - kuwa hayo ni maisha ya kiroho
Ill? Yo YOle anayeyasoma maneno ya Quran na ya Hadithi za Mlume anaona waziwazi kuwa yamekhusu roho na
kiwiliwili. Nawaluonyeshe NENO la Mwenyezi Mungu au Mlume Iinalosema kuwa maisha ya huko ni ya Kiroho
tu.
Basi kuamini kwao hivyo ni kinyume cha ilivyosema Quran na Hadithi za Mtume.
2 S. Kubashiria ni kuwapa khabari ya furaha.
26. Mwenyezi ,\\ungu alipowapigia mfano waungu wao batili kuwa (a) Hawawezi kuumba hata nzi bali hata
94
23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo
tuliyomteremshia Mtumwa Wetu (kuwa
hakuteremshiwa na Mwenyezi Mungu), basi leteni
sura moja iliyofanywa na (mtu) ahye mfano wake, na
muwaite waungu wenu bighairi ya Mwenyezi Mungu
(wakusaidieni); ikiwa mnasema kweli.
24. Na msipofanya- na hakika hamtafanya
kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni
watu na mawe. uliowekewa makafiri.
25. Na wabashirie walioamini na kufanya
vitendo vizuri, kwamba watapata mabustani ya
pitayo mito mbele yake; kila mara watakapopewa
matunda humo kuwa Ili chakula watasema: "Haya
ndiyo yale tuliyopewa zamani (ulimwenguni)."
Kwani wataletewa (matunda hayo) hali ya kuwa
yamefanana (na yale waliyokuwa wakiya;uwa
ulimwenguni. Wataletewa kwa sura hiyo; lakini
utamu mwingine kabisa): na humo watapata wake
waliotakasika ena kila mabaya na machafu);· na
watakaa milele humo.
26. Hakika Mwenyezi Mungu haoni haya kutoa
mfano wowote wa mbuna ulio wa zaidi yake. Ama
wale wanaoamini, wao hujua ya kwamba hiyo ni
haki iliyotoka kwa Mola wao; lakini wale
waliokufuru husema: "Ni nini analotaka Mwenyezi
Mungu kwa mfano huu?" (Mwenyezi Mungu)
huwawachia wengi kupotea kwa mfanohuo na
huwaongoza wengi kwa mfano huo pia; lakini
hamwachii yo yOle kupolea kwa mfan~ huo (na
mwingineo) isipokuwa wale wavunjao amri (Zake).
wengine. Muradi wa maneno haya, katika Aya hii na nyinginezo, ni kuwa MwenyeziMungu Ameikun;ua Ardhi
hata viumbe wakaweza kuishi kwa raha na kufanya haja zao bila Ya taklifu juu yake. Na samaa hapa ni mawingu
kama yalivyotajwa katika sura nyengine kwa jina la sahab (mawingu). Sahab' ndiyo mawingu na samaa ni kila
kilicho juu yako. Basi tamko la samaa inapotajwa mvua lina maana ya We tamko Ia sahab. Siyo mvua .inalOka
mbinguni. Wenyewe kwa macho yelll tukipanda ndege (aeropl,ane) tunaiona haitoki mbinguni.
23. Makafiri walikuwa wakikar.usha Quran na kudai kuwa ni manenoyake yeye Muhammad, 5i maneno ya
Mungu. Basi hapa Mwenyezi Mungu Anawatahayarisha na kuwaambia kwamba Muhammad ni mwanadamu kama
nyinyi. Basi kama yeye ameweza kutunga maneno kama haya kwa nini nyinyi hamwezi? Jaribuni na muwaile hao
waungu wenu wakupeni msaada.
24. Hapil Mwenyezi Mungu Anawakat\Jl kuwa hawataweza kufanya hilo, na Anawatahadharisha na Adhabu
yake.
Wamesema kalika maelezo ya tafsiri ya Aya mbili hizi - walizozifanya kuwa ni 25 na 26 kuwa maisha ya
Akhera ni ya Kiroho Iu si ya Kiwiliwili.
Hivi sivyo unavyosema Uislamu. Uislamu unasema kuwa "Maisha ya Akhera ni ya Roho na Kiwiwili, si ya
Roho IU". Tamko gani liliowafahamisha katika Aya mbili hizi au nyinginezo - kuwa hayo ni maisha ya kiroho
Ill? Yo YOle anayeyasoma maneno ya Quran na ya Hadithi za Mlume anaona waziwazi kuwa yamekhusu roho na
kiwiliwili. Nawaluonyeshe NENO la Mwenyezi Mungu au Mlume Iinalosema kuwa maisha ya huko ni ya Kiroho
tu.
Basi kuamini kwao hivyo ni kinyume cha ilivyosema Quran na Hadithi za Mtume.
2 S. Kubashiria ni kuwapa khabari ya furaha.
26. Mwenyezi ,\\ungu alipowapigia mfano waungu wao batili kuwa (a) Hawawezi kuumba hata nzi bali hata
94