Page 34 - Quran inTakafitu
P. 34
UU I AL BAQARAH (2) AUF LAM MYM
75. Mnatumaini (nyinyi Waislamu)'ya kwamba
watakuaminini (hao Mayahudi); na hali baadhi yao .
walikuwa wanasikia maneno ya Mwenyezi Mungu,
kisha wanayabadili baada ya kuwa wameyafahamu;
na hali wanajua?
76. Na wanapokutana na wale walioamini
husema: "Tumeamini (kuwa kweli huyu Nabii
Muhammad Mtume wa haki, katajwa katika vitabu
vyetu)." Na wanapokuwa peke yao, wao kwa wao,
husema; "Mnawaambia (Waislamu)
aliyokufungulieni M wenyezi Mungu iii wapate,
kukuhojini mbeJe ya Mola wenu (kwa yaliyo katika
vitabu vya Mola wenu vilivyo kwenul (wakuhQjini
kwa kitabu kinachotoka kwa Mola wenu)? Hamna
akili?
. 77. (Mwenyezi Mungu anasema:) Hawajui ya
kwamba Mweriyezi Mungu anayajua wanayoyaficha
na' wanayoyadhihirisha?
78. Na wako miongoni mwao (hao Mayahudi)
watu wasiojua kusoma; hawajui (kusoma na
kufahamu) Kitabu (cha Mwenyezi Mungu; hawajui)
isipokuwa tamaa tu za upuuzi, nao hawana ila
kudhani lu.
79. Basi adhabu kali itawathibitikia
wanaoandika kitabu kwa mikono yao, kisha
wakasema: "Hiki ,kimetoka kwa Mwenyezi
Mungu!' (Wanasema uwongo huo) Ili wachukue
thamani ndogo ya kilimwengu. Basi ole wao kwa
yale waliyoyaandika kwa mikono yao (wakasingizia
kuwa ya Mungu). N a ole wao kwa yale
wanayoyachuma. P~f0i ,g;)~ ~~r~l)~II:ltJ\~tf;
80. Na walisema: "Hautatugusa Mota (wa ~~~ §~~I~Jj!~JI~
Jahannam) isipokuwa kwa siku chache tu." Sema: o ~;tJ~t,;~\~
"Je! Mmepata ahadi kwa Mwenyezi Mungu?
Kwa hivyo hatakhalifu ahadi yake. Au mnamsingizia
Mwenyezi Mungu mambo msiyoyajua."
75. Kwa kuwa Mayahudi ni watu WI kitabu (Taurall) ambacho kimetaja sira ya Nabil, Muhammad s.a.w.,
Mtume alikuwa akitaraji sana kuwa watamuamini na kumfuata, Kwa Aya hil Mwenyezi Mungu 'Anawatoa.tamaa
Mmme na Masahaba wake w3sitaraji kuwa Mayahudi wataamini, pamoja na kuwaonesha kuwa wao wametanguu,.
kufanya Makubwa zaidi ya hayo: yaani kubadilisha maneno ya Mwenyezi Mungu.
Mayahudi wamebadilisha manenoya Tauraci kwa kuondosha'matamko na kutia mengine, kwa kugeuza lafsi5i,
kwa kupunguza na kwa kuongeza pia.
76. Mayahudi walipokuwa wakimnafikia Mtume s.a.w. na wafuasi wake na wakiw~kubalia kuwa kweli MlUme
Muhammad s.a.w. katajwa katika 'Taurall, wenzao walikuwa wakiwalaumu kwa kule kuwafunulia Wijslamu
mambo ambayo Mayahudi wamewafikwna kuwa wayafiche. Basi'Mwenyezi Mungu Anawaiibu kwa Aya ifuwillayo
kw9Jtlba Yeye Anayajuwa wanayoyaficha na wanayoyadhihirisha. ,
80-82. Mayahudi, kwa kujilapa kuwa ni watukufu, kwa kule kunasibikana kwao na Mitume, walikuwa
wakidai kuwa hawalaadhibiwa iIla siku arubainitu ambazo wazee wao waliabudu ndama, Mwenyezi Muogu
Anawakadhibisha kwa Aya hizi kwamba yo yote alakayefanya maovu ataadhibiwa kwa maovu yakej na hapanr
lilakalomnusuru mlu i1a imani na amali njema.
19
75. Mnatumaini (nyinyi Waislamu)'ya kwamba
watakuaminini (hao Mayahudi); na hali baadhi yao .
walikuwa wanasikia maneno ya Mwenyezi Mungu,
kisha wanayabadili baada ya kuwa wameyafahamu;
na hali wanajua?
76. Na wanapokutana na wale walioamini
husema: "Tumeamini (kuwa kweli huyu Nabii
Muhammad Mtume wa haki, katajwa katika vitabu
vyetu)." Na wanapokuwa peke yao, wao kwa wao,
husema; "Mnawaambia (Waislamu)
aliyokufungulieni M wenyezi Mungu iii wapate,
kukuhojini mbeJe ya Mola wenu (kwa yaliyo katika
vitabu vya Mola wenu vilivyo kwenul (wakuhQjini
kwa kitabu kinachotoka kwa Mola wenu)? Hamna
akili?
. 77. (Mwenyezi Mungu anasema:) Hawajui ya
kwamba Mweriyezi Mungu anayajua wanayoyaficha
na' wanayoyadhihirisha?
78. Na wako miongoni mwao (hao Mayahudi)
watu wasiojua kusoma; hawajui (kusoma na
kufahamu) Kitabu (cha Mwenyezi Mungu; hawajui)
isipokuwa tamaa tu za upuuzi, nao hawana ila
kudhani lu.
79. Basi adhabu kali itawathibitikia
wanaoandika kitabu kwa mikono yao, kisha
wakasema: "Hiki ,kimetoka kwa Mwenyezi
Mungu!' (Wanasema uwongo huo) Ili wachukue
thamani ndogo ya kilimwengu. Basi ole wao kwa
yale waliyoyaandika kwa mikono yao (wakasingizia
kuwa ya Mungu). N a ole wao kwa yale
wanayoyachuma. P~f0i ,g;)~ ~~r~l)~II:ltJ\~tf;
80. Na walisema: "Hautatugusa Mota (wa ~~~ §~~I~Jj!~JI~
Jahannam) isipokuwa kwa siku chache tu." Sema: o ~;tJ~t,;~\~
"Je! Mmepata ahadi kwa Mwenyezi Mungu?
Kwa hivyo hatakhalifu ahadi yake. Au mnamsingizia
Mwenyezi Mungu mambo msiyoyajua."
75. Kwa kuwa Mayahudi ni watu WI kitabu (Taurall) ambacho kimetaja sira ya Nabil, Muhammad s.a.w.,
Mtume alikuwa akitaraji sana kuwa watamuamini na kumfuata, Kwa Aya hil Mwenyezi Mungu 'Anawatoa.tamaa
Mmme na Masahaba wake w3sitaraji kuwa Mayahudi wataamini, pamoja na kuwaonesha kuwa wao wametanguu,.
kufanya Makubwa zaidi ya hayo: yaani kubadilisha maneno ya Mwenyezi Mungu.
Mayahudi wamebadilisha manenoya Tauraci kwa kuondosha'matamko na kutia mengine, kwa kugeuza lafsi5i,
kwa kupunguza na kwa kuongeza pia.
76. Mayahudi walipokuwa wakimnafikia Mtume s.a.w. na wafuasi wake na wakiw~kubalia kuwa kweli MlUme
Muhammad s.a.w. katajwa katika 'Taurall, wenzao walikuwa wakiwalaumu kwa kule kuwafunulia Wijslamu
mambo ambayo Mayahudi wamewafikwna kuwa wayafiche. Basi'Mwenyezi Mungu Anawaiibu kwa Aya ifuwillayo
kw9Jtlba Yeye Anayajuwa wanayoyaficha na wanayoyadhihirisha. ,
80-82. Mayahudi, kwa kujilapa kuwa ni watukufu, kwa kule kunasibikana kwao na Mitume, walikuwa
wakidai kuwa hawalaadhibiwa iIla siku arubainitu ambazo wazee wao waliabudu ndama, Mwenyezi Muogu
Anawakadhibisha kwa Aya hizi kwamba yo yote alakayefanya maovu ataadhibiwa kwa maovu yakej na hapanr
lilakalomnusuru mlu i1a imani na amali njema.
19