Page 36 - Quran inTakafitu
P. 36
UU I AL BAQARAH m AUF LAM MYM
tukawafuatisha Mitume (wengine) baada yake. na
tukampa Isa, mwana wa Mariamu, hoia zilizo
awaziwazi, na tukamtia nguvu kwa Roho mtakatifu
ibril). Basi (nyinyi Mayahudi kazi yenu ndiyo hii
tu:) Kila' walipokufikieni Mitume kwa yale
yasiyoyapenda nafsi zenu , mlijivuna, kundi moja
mkalikadhibishana kundi (jinginc) mkaliua!
88. Na walisema (alipokuja Nabii Muhammad
akawafundisha dini:) "Nyoyo zetu zimefunikwa
(hatufahamu unayoyasema)." (Nao ni waongo katika
maiidai hayo). Bali Mwenyezi Mungu amewalaani
kwa kufuru zao; kwa hivyo m kidogo tu
wanayoyaamini.
89. Na kilipowafikia (wakati wa Nabii
Muhammad hiki) Kitabu kitokacho kwa Mwenyezi
Mungu kisadikishacho yaliyo pamoja nao
Cwalikadhibisha); na zamani walikuwa
wakiwafungulia makaftri (khabari ya Mtume huyo).
Lakini yalipowafikia yale waliyokuwa wakiyajua
waliyakataa. Basi laana ya Mwenyezi Mungu iko juu
ya makafiri (hao). .
90. Kibaya kabisa walichouzia (starehe za) nafsi
zao (za Akhera) ni kule kukataa aliyoyaleremsha
Mwenyezi Mungu. (Wanakanusha hivyo) kwa ajili
ya kuona maya (husuda) kwa kuwa Mwenyezi
Mungu kawateremshia fadhila Zake awatakao katika
waja Wake (wasiokuwa MayahudD, Kwa hiyo
wakastahiki (kwa Mwenyezi Mungu) ghadhabti (tena
safari hii kwa kumkataa Nabii Muhammad) juu ya
ghadhabu (juu ya ghadhabuwalizoghadhibikiwa kwa
kuwapinga hao Mitume waliotangulia); na watakuwa
nayo makaflri (hao) adhabu ya kudha\ilisha.
91. Na wanapoambiwa (hao Mayahudi):
"Yaaminini aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu,"
(kwa Nabii Muhammad) husema: "Tlinaamini
yaliyoteremshwa juu yetu (kwa Nabii Musa)"; na
huyakataa yasiyokuwa hayo. Na hali ya kuwa hii
(Quran) ndiyo haki inayosadikisha yale yaliyo
pamoja nao. Serna: "Mbona mliwaua Millime wa
Mwenyezi Mungu hapo zamani kama mlikuwa
mkiamini?"
UtatU (trinity). .
Katika mae1ezo ya Aya walioifanya kuwa ni ya 88 Makadiyani wamepachika hivi "Kama Nabii yo yo\e
akifika tumpime kwa juu ya mizani hii, je mambo anayoleta yanafurahikiwa sana na walu au yanakasirikiwa."
Wamepachika haya wampe Utume huyo Mirza Ghulam wao. Na sisi tumekwisha kubaimsha dhahir shahir..
ruliporejeza maelezo y3 kwenye Aya ya 4 SU>"aI!l/ 13!lqamil waliyoifanya Aya ya 5. Rejelea tulivyoyasema tlzKh
kuona uwongo wao na upolOfu wao.
89. Kabla ya kuja M!ume Muhammad s.a.w. Mayahudi walikuwa wakiwapa khabari Waarabu kuwa karibuni
21
tukawafuatisha Mitume (wengine) baada yake. na
tukampa Isa, mwana wa Mariamu, hoia zilizo
awaziwazi, na tukamtia nguvu kwa Roho mtakatifu
ibril). Basi (nyinyi Mayahudi kazi yenu ndiyo hii
tu:) Kila' walipokufikieni Mitume kwa yale
yasiyoyapenda nafsi zenu , mlijivuna, kundi moja
mkalikadhibishana kundi (jinginc) mkaliua!
88. Na walisema (alipokuja Nabii Muhammad
akawafundisha dini:) "Nyoyo zetu zimefunikwa
(hatufahamu unayoyasema)." (Nao ni waongo katika
maiidai hayo). Bali Mwenyezi Mungu amewalaani
kwa kufuru zao; kwa hivyo m kidogo tu
wanayoyaamini.
89. Na kilipowafikia (wakati wa Nabii
Muhammad hiki) Kitabu kitokacho kwa Mwenyezi
Mungu kisadikishacho yaliyo pamoja nao
Cwalikadhibisha); na zamani walikuwa
wakiwafungulia makaftri (khabari ya Mtume huyo).
Lakini yalipowafikia yale waliyokuwa wakiyajua
waliyakataa. Basi laana ya Mwenyezi Mungu iko juu
ya makafiri (hao). .
90. Kibaya kabisa walichouzia (starehe za) nafsi
zao (za Akhera) ni kule kukataa aliyoyaleremsha
Mwenyezi Mungu. (Wanakanusha hivyo) kwa ajili
ya kuona maya (husuda) kwa kuwa Mwenyezi
Mungu kawateremshia fadhila Zake awatakao katika
waja Wake (wasiokuwa MayahudD, Kwa hiyo
wakastahiki (kwa Mwenyezi Mungu) ghadhabti (tena
safari hii kwa kumkataa Nabii Muhammad) juu ya
ghadhabu (juu ya ghadhabuwalizoghadhibikiwa kwa
kuwapinga hao Mitume waliotangulia); na watakuwa
nayo makaflri (hao) adhabu ya kudha\ilisha.
91. Na wanapoambiwa (hao Mayahudi):
"Yaaminini aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu,"
(kwa Nabii Muhammad) husema: "Tlinaamini
yaliyoteremshwa juu yetu (kwa Nabii Musa)"; na
huyakataa yasiyokuwa hayo. Na hali ya kuwa hii
(Quran) ndiyo haki inayosadikisha yale yaliyo
pamoja nao. Serna: "Mbona mliwaua Millime wa
Mwenyezi Mungu hapo zamani kama mlikuwa
mkiamini?"
UtatU (trinity). .
Katika mae1ezo ya Aya walioifanya kuwa ni ya 88 Makadiyani wamepachika hivi "Kama Nabii yo yo\e
akifika tumpime kwa juu ya mizani hii, je mambo anayoleta yanafurahikiwa sana na walu au yanakasirikiwa."
Wamepachika haya wampe Utume huyo Mirza Ghulam wao. Na sisi tumekwisha kubaimsha dhahir shahir..
ruliporejeza maelezo y3 kwenye Aya ya 4 SU>"aI!l/ 13!lqamil waliyoifanya Aya ya 5. Rejelea tulivyoyasema tlzKh
kuona uwongo wao na upolOfu wao.
89. Kabla ya kuja M!ume Muhammad s.a.w. Mayahudi walikuwa wakiwapa khabari Waarabu kuwa karibuni
21